Mwenyekiti wa Kamati ya kudumu ya Bunge ya Miundombinu, Mheshimiwa Suleiman Kakoso, akitoa salamu za pole kwa familia ya marehemu Mhandisi Patrick Mfugale, katika Hospitali ya Benjamin Mkapa, jijini Dodoma alipofika hapo kutoa heshima za mwisho.

Jeneza lililobeba mwili wa aliyekuwa Mtendaji Mkuu wa Wakala wa Barabara Tanzania (TANROADS) Marehemu Mhandisi Patrick Mfugale, likiwasili eneo maalum katika Hospitali ya Benjamin Mkapa, jijini Dodoma kwa ajili ya kufanyiwa ibada na kupewa heshima ya mwisho na viongozi wa Serikali, watumishi wa Wizara ya Ujenzi na Uchukuzi na waombolezaji wengine.








Viongozi mbalimbali, watumishi wa Wizara ya Ujenzi na Uchukuzi pamoja na wafanyakazi wa Wakala wa Barabara Tanzania (TANROADS), wakitoa heshima zao za mwisho kwa aliyekuwa Mtendaji Mkuu wa Wakala wa Barabara Tanzania (TANROADS), katika Hospitali ya Benjamin Mkapa, jijini Dodoma.

 

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...