Msajili Mwandamizi kutoka RITA, Rehema Mushi akiwaomba fomu za wananchi waliofika kwenye banda la Wakala wa Usajili, Ufilisi na Udhamini (RITA) ili  awahudumie leo katika maonesho 45 ya Biashara ya Kimataifa  ya Sabasaba yanayofanyika kwenye viwanja vya Mwalimu Julius Nyerere  Barabara ya Kilwa jijini Dar es Salaam.
(Picha na Emmanuel Massaka,Michuzi TV)
Afisa Mawasiliano  wa (RITA) Jafari Malema akizungumza na wananchi na kuwaelekeza namana ya kujanaza fomu  waliofika kwenye banda la RITA leo katika  maonesho 45 ya Biashara ya Kimataifa  ya Sabasaba yanayofanyika kwenye viwanja vya Mwalimu Julius Nyerere  Barabara ya Kilwa jijini Dar es Salaam.  Picha na Emmanuel Massaka Globu ya jamii.




kama inayoonekana pichani kazi ikiendelea ya kuwahudumia wananchi.
(Picha na Emmanuel Massaka,Michuzi TV)
Wananchi wakijaza fomu kwaajili ya veti vya kuzaliwa kwenye banda la RITA katika ya maonesho 45 ya Biashara ya Kimataifa  ya Sabasaba yanayofanyika kwenye viwanja vya Mwalimu Julius Nyerere  Barabara ya Kilwa jijini Dar es Salaam.
 Kama inavyoonekana picha wananchi wakiwa kwenye foleni kwenye banda la Wakala wa Usajili, Ufilisi na Udhamini (RITA) leo katika ya maonesho 45 ya Biashara ya Kimataifa  ya Sabasaba yanayofanyika kwenye viwanja vya Mwalimu Julius Nyerere  Barabara ya Kilwa jijini Dar es Salaam.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...