Waziri wa Viwanda na Biashara, Prof. Kitila Mkumbo (kulia), akisaini kitabu cha wageni alipofika katika banda UTT AMIS lililopo ndani ya Banda la Wizara ya Fedha na Mipango kwenye maonyesho ya 45 ya Biashara ya Kimataifa ya Dar es Salaam (DITF). Katikati ni Afisa Mkuu wa Masoko na Uhusiano wa Kampuni ya UTT AMIS, Martha Mashiku.
Waziri wa Viwanda na Biashara, Prof. Kitila Mkumbo (kulia), akipata maelezo kutoka kwa Afisa Mkuu wa Masoko na Uhusiano wa Kampuni ya UTT AMIS, Martha Mashiku, juu ya fursa za uwekezaji zinazopatikana katika kampuni hiyo.

Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...