KUNDI la pili la watalii 137 kutoka nchini Israel  limewasili nchini na watakuwepo nchini kwa siku 7, huku  kundi la awali la watalii 150 kutoka Israel wakimaliza salama utalii wao nchini

Kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa na TANAPA imeelezwa kuwa watalii hao wamefurahi mapokezi yaliyoandaliwa kwa ajili hayo na kuelezwa kuwa makundi mengi zaidi yanategemewa  kuwasili wiki ijayo na wengi wa watalii hao wakieleza namna  Tanzania ilivyobarikiwa vya kutosha huku wengi wao  wakiahidi kurudi tena na kusifu hatua zilizopo juu ya  tahadhari dhidi ya UVIKO 19.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...