KUNDI la pili la watalii 137 kutoka nchini Israel limewasili nchini na watakuwepo nchini kwa siku 7, huku kundi la awali la watalii 150 kutoka Israel wakimaliza salama utalii wao nchini
Kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa na TANAPA imeelezwa kuwa watalii hao wamefurahi mapokezi yaliyoandaliwa kwa ajili hayo na kuelezwa kuwa makundi mengi zaidi yanategemewa kuwasili wiki ijayo na wengi wa watalii hao wakieleza namna Tanzania ilivyobarikiwa vya kutosha huku wengi wao wakiahidi kurudi tena na kusifu hatua zilizopo juu ya tahadhari dhidi ya UVIKO 19.
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...