Mjumbe wa Kamati Kuu ya Chama cha ACT Wazalendo,ambaye pia ni Makamu wa Kwanza wa Rais wa Zanzibar, Mhe.Othman Masoud Othman aungana na Viongozi wenzake wa Chama cha ACT Wazalendo wakiongozwa na kiongozi wa Chama hicho Ndg. Zitto Kabwe katika mkutano maalum wa kuzungumza na viongozi wa chama ngazi ya mkoa majimbo na matawi katika mkoa wa Wete Kichama.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...