Mjasiriamali akiandaa chakula kwaajili ya kuwauzia wateja wake wanaotoka maeneo mbalimbali ya jiji la Ilala kama alivyo kutwa na Kamera ya MICHUZI TV leo maeneo ya Ubungo wilaya ya Ubungo  Mkoa wa  Dar es Salaam. (Picha na Emmanuel Massaka wa Michuzi Tv.)Mjasiriamali akichoma Nyama kwa ajili kuwauzia wateja wake wanaotoka maeneo mbalimbali ya jiji  la Ilala kama alivyo kutwa na Kamera ya MICHUZI TV maeneo ya Kimara Wilaya ya Ubungo Mkoa Dar es Salaam. (Picha na Emmanuel Massaka wa Michuzi Tv.)

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...