Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Shinyanga Bi. Nice R. Munissy (kushoto) akikabidhiwa Nyaraka Muhimu za Makabidhiano ya Ofisi na Mkurugenzi anayeondoka Bi. Hoja N. Mahiba kama Vitendea kazi vya Ofisi
Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Shinyanga Bi. Nice R. Munissy (kushoto) akiklabidhiwa Nyaraka Muhimu za Makabidhiano ya Ofisi na Mkurugenzi anayeondoka Bi. Hoja N. Mahiba kama Vitendea kazi vya Ofisi
Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Shinyanga Bi. Nice R. Munissy wakikabidhiana Nyaraka Muhimu za Makabidhiano ya Ofisi na Mkurugenzi anayeondoka Bi. Hoja N. Mahiba kama Vitendea kazi vya Ofisi huku wakishuhudiwa na Mwenyekiti wa Halmashauri ya Wilaya ya Shinyanga Mhe. Ngassa S. Mboje.
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...