Na Mwamvua Mwinyi..

Mbunge wa Jimbo la chalinze , Ridhiwani Kikwete,ameendelea na ziara yake katika Tarafa ya Miono kwa kufanya mikutano na Wananchi kuzungumza maendeleo ya maeneo mbalimbali na Kuhimiza Kupata Chanjo ya Uviko 19 kwa wananchi. 

Ridhiwani alielezea, katika ziara hiyo anasikiliza kero ambapo zipo anazozijibia utekelezaji wake unavyoendelea na nyingine mpya anazipokea kwenda kuzifikisha maeneo husika zifanyiwe kazi.


#KaziIendelee #ChalinzeIendelee



 

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...