Mkuu wa Jeshi la Polisi Nchini IGP Smon Sirro akizungumza na baadhi ya Maafisa Wakuu wa Makao Makuu ya Polisi Dodoma (Hawapo pichani) wakati wa kikao na Msajili wa Vyama vya siasa nchini Jaji Francis Mutungi (wa pili kulia) ambapo mambo kadhaa yalijadiliwa kuhusiana na changamoto za kisiasa.Picha na Jeshi la Polisi.
Msajili wa Vyama vya Siasa nchini Jaji Francis Mutungi (aliyesimama) akizungumza na Maafisa Wakuu Waandamizi wa Polisi Makao Makuu Dodoma (hawapo pichani) wakati wa kikao cha kujadili mambo kadha wa kadha kuhusiana na changamoto za kisiasa nchini, Kushoto ni Mkuu wa Jeshi la Polisi Nchini IGP Simon Sirro. Picha na Jeshi la Polisi.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...