Linda Shebby, Mkuranga
MKUU  wa Mkoa Pwani ALHAJ Abubakari Kunenge amewataka Wajumbe wa baraza kutenda haki katika kuamua kesi za migogoro ya ardhi kwenye maeneo yao.
Akisisitiza juu ya hilo leo alipozungumza  na Baraza lao  Wilayani Mkuranga  Mkoa wa Pwani pia amewasisitiza kuwa na hofu ya Mungu katika utendaji wao wa kazi za kila siku.

Aidha Kunenge alisema kuwa  tatizo la migogoro ya ardhi lina mkera sana hasa kwenye Mkoa  wa Pwani hivyo amewataka wajumbe hao kuzingatia madili ya kazi zao .

" Naelewa katika sekta hi ikunaushawishi mkubwa  na kuwapnya Wajumbe hai waepuke sana vishawishi vya pesa na kuwataja wawe mahiri katika uwajibikaji.

Kunenge alisema haya Mara baada kuwaapisha wajumbe wa baraza la ardhi Wilaya Mkuranga na kusisitiza haki zitendeke kila siku wakati wowote ingawa changamoto zipo zinafahamika lakini wanawajibu wa kuhakikisha wanatendea haki wananchi haki.




Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...