Naibu Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Tulia Ackson (wapili kulia) akizungumza na Spika wa Bunge la Malawi, Mhe. Catherine Hara (katikati) alipowatembelea leo katika ofisi za Bunge la Malawi Lilongwe nchini Malawi, kushoto ni Naibu Spika wa Pili wa Bunge la Malawi, Mhe. Aisha Adams na Naibu Spika wa kwanza wa Bunge la Malawi, Mhe. Madolitso Kazombo. Naibu Spika Tulia yupo Malawi kwa ziara ya kikazi ya siku nne
Naibu Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Tulia Ackson (kulia) akipatiwa maelezo na Naibu Spika wa kwanza wa Bunge la Malawi, Mhe. Madolitso Kazombo akiwa Jukwaa la Spika alipotembela Bunge la Malawi leo Lilongwe nchini Malawi, Naibu Spika Tulia yupo Malawi kwa ziara ya kikazi ya siku nne
Naibu Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Tulia Ackson (kushoto) pamoja na Spika wa Bunge la Malawi, Mhe. Catherine Hara (katikati) wakimsikiliza Naibu Spika wa kwanza wa Bunge la Malawi, Mhe. Madolitso Kazombo alipowatembelea leo katika ofisi za Bunge la Malawi Lilongwe nchini Malawi, Naibu Spika yupo Malawi kwa ziara ya kikazi ya siku nne
Naibu Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Tulia Ackson (kulia) akipokea zawadi kutoka kwa Spika wa Bunge la Malawi, Mhe. Catherine Hara alipomtembelea leo ofisini kwake Bungeni Lilongwe nchini Malawi, Naibu Spika yupo Malawi kwa ziara ya kikazi ya siku nne, Kulia ni Katibu wa Naibu Spika Tulia, James Sapali
Naibu Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Tulia Ackson (kushoto) katika picha ya pamoja na Spika wa Bunge la Malawi, Mhe. Catherine Hara alipomtembelea leo ofisini kwake Bungeni Lilongwe nchini Malawi, Naibu Spika yupo Malawi kwa ziara ya kikazi ya siku nne
Naibu Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Tulia Ackson (kushoto) katika picha ya pamoja na Spika wa Bunge la Malawi, Mhe. Catherine Hara (katikati) pamoja na Naibu Spika wa Pili wa Bunge la Malawi, Mhe. Aisha Adams alipowatembelea leo katika ofisi za Bunge la Malawi Lilongwe nchini Malawi, Naibu Spika Tulia yupo Malawi kwa ziara ya kikazi ya siku nne
(PICHA NA OFISI YA BUNGE)
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...