

Mkurugenzi Mtendaji wa Benki ya CRDB, Abdulmajid Nsekela akipokea zawadi ya Keki
kutoka kwa Mwenyekiti wa Chama cha Wamiliki wa Shule Binafsi Tanzania
(TAPIA), Mahmoud Mringo ikiwa ni sehemu ya shukrani zao kwake kwa kukubali kuwa mgeni rasmi katika ufunguzi wa Mkutano Mkuu wa
Tatu wa Chama cha Wamiliki wa Shule Binafsi Tanzania (TAPIA), uliofanyika leo kwenye Ukumbi wa Blue
Sapphire, Mbezi Beach, Dar es salaam. Kulia ni Mkurugenzi wa Mawasiliano
wa Benki ya CRDB, Tully Esther Mwambapa na kushoto ni Katibu Mkuu wa
Chama hicho, Albert Katagira.
Mwenyekiti wa Chama cha Wamiliki wa Shule Binafsi Tanzania
(TAPIA), Mahmoud Mringo akizungumza
wakati akitoa salamu
za Chama chao kwa mgeni rasmi,
katika ufunguzi wa Mkutano Mkuu wa Tatu wa Chama cha Wamiliki wa Shule Binafsi
Tanzania (TAPIA) uliodhamini na Benki ya CRDB na kufanyika kwenye
Ukumbi wa Blue Sapphire, Mbezi Beach, Dar es salaam.

Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...