Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan, akiwa katika picha ya pamoja na Uongozi wa Asasi ya Tanzania Women Cross-Party Platform (T-WCP-ULINGO) mara baada ya kumaliza mazungumzo na Uongozi huo leo tarehe 27 Oktoba, 2021 Ikulu Jijini Dar es Salaam.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan, akizungumza na Uongozi wa Asasi ya Tanzania Women Cross-Party Platform (T-WCP-ULINGO) wakati Uongozi huo ulipofika Ikulu Jijini Dar es Salaam leo tarehe 27 Oktoba, 2021.
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...