Mkurugenzi Mtendaji wa Kampuni ya Mbolea ya Yara Tanzania, Winstone Odhiambo ( kulia ) akikabidhi mfano wa hundi ya sh milioni 57 kwa mshindi wa pili wa mauzo bora ya mbolea hiyo kwa mwaka 2020/2021, Mkurugenzi wa Ng`wana Igwembe Agrovet Company Ltd, Yahya Bundala na Mkewe, Hamisa Sagata wakati wa mkutano wa kila mwaka wa mawakala na washirika wa kampuni hiyo kutoka mikoa mbalimbali nchini, uliofanyika jijini Dar es Salaam jana. Kushoto ni Mkurugenzi Mtendaji wa Mamlaka ya Udhibiti wa mbolea Tanzania ( TFRA), Dk. Stephan Ngailo.
Wafanyakazi wa kampuni ya Mbolea ya Yara Tanzania wakiwa katika picha ya pamoja baada ya kupata vyeti cha utumishi wa muda mrefu wakati wa hafla ya chakula cha usiku iliyoandaliwa na kampuni hiyo baada ya mkutano mkuu wa kila mwaka wa mawakala na washirika wa kampuni yao kutoka mikoa mbalimbali nchini uliofanyika jijini Dar es Salaam jana.
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...