Washiriki wa semina ya mafunzo kwa wadau wa usafirishaji kuhusu Sheria ya Udhibiti Uzito wa Magari ya mwaka 2016 na kanuni zake za mwaka 2018 inayofanyika katika ukumbi wa JKT Umwema mkoani Morogoro wakiwa kwenye picha ya pamoja na mgeni rasmi Mhandisi Ezron Kilamhama, Katibu Tawala Msaidizi mkoa wa Morogoro.

Picha na WUU


Katibu Tawala Msaidizi mkoa wa Morogoro, Mhandisi Ezron Kilamhama, akifungua Semina ya mafunzo kwa wadau wa usafirishaji (hawapo pichani), kuhusu Sheria ya Udhibiti Uzito wa Magari ya mwaka 2016 na kanuni zake za mwaka 2018 inayofanyika katika ukumbi wa JKT Umwema mkoni Morogoro.

Baadhi ya washiriki wa semina ya mafunzo kwa wadau wa usafirishaji kuhusu Sheria ya Udhibiti Uzito wa Magari ya mwaka 2016 na kanuni zake za mwaka 2018 wakimsikiliza mtoa mada katika semina inayofanyika katika ukumbi wa JKT Umwema mkoani Morogoro

Baadhi ya washiriki wa semina ya mafunzo ya Sheria ya Udhibiti Uzito wa Magari ya mwaka 2016 na kanuni zake za mwaka 2018 wakifuatilia moja ya mada katika semina inayofanyika katika ukumbi wa JKT Umwema mkoani Morogoro

Kutoka kushoto ni Meneja wa Wakala wa Barabara Tanzania (TANROADS) mkoa wa Morogoro, Mhandisi Alinanuswe Razack akifuatiwa na Meneja wa TANROADS mkoa wa Pwani, Mhandisi Baraka Mwambage, wakifuatilia moja ya mada katika semina ya mafunzo kwa wadau wa usafirishaji kuhusu Sheria ya Udhibiti Uzito wa Magari ya mwaka 2016 na kanuni zake za mwaka 2018 inayofanyika katika ukumbi wa JKT Umwema mkoani Morogoro.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...