Waziri Mkuu Kassim Majaliwa akizungumza baada ya kukagua maendeleo ya ukarabati wa uwanja wa mpira wa miguu wa Majaliwa, uliopo Ruangwa mkoani Lindi,

  

Muonekano wa uwanja wa  mpira wa miguu wa Majaliwa uliopo Ruangwa mkoani Lindi ambao unafanyiwa ukarabati, Waziri Mkuu Kassim Majaliwa aliutembelea na kukagua maendeleo ya ukarabati wake Oktoba 26, 2021 (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...