Naibu balozi wa Uingereza nchini Tanzania, Rick Shearn na Kemi Williams, Mkurugenzi wa Maendeleo wa ubalozi wa Uingereza wakiwa katika picha ya pamoja na wafanyakazi wa kiwanda kipya cha kutengeneza pombe kali cha SBL, Moshi.

Naibu balozi wa Uingereza, Rick Shearn (kushoto) na Kemi Williams, Mkurugenzi wa Maendeleo wa ubalozi wa Uingereza (kulia) wakizungumza na uongozi wa SBL (hawapo pichani) katika ziara yao kwenye kiwanda cha SBL kilichopo Moshi.

Naibu balozi wa Uingereza nchini Tanzania, Rick Shearn (kushoto) wakiteta na Mkurugenzi wa Mahusiano, John Wanyancha (kushoto) katika ziara yake ya kikazi kwenye kiwanda cha Serengeti Breweries Limited (SBL) kilichopo Moshi

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...