Mtaalamu wa Masuala ya Fedha kutoka Benki Kuu ya Tanzania (BoT), Bw. Kalokola Osward, akitoa elimu kuhusu alama za noti halali, wakati wa Maadhimisho ya Wiki ya Huduma za Fedha Kitaifa katika Viwanja vya Mnazi Mmoja jijini Dar es Salaam.
Mtaalamu wa masuala ya mfumo ya kielektroniki ya malipo ya Serikali kutoka Wizara ya Fedha na Mipango, Bw. Dominic Kounja, akitoa elimu ya mfumo huo kwa mkazi wa Dar es Salaam, Bi. Sylivia Kilarika, alipotembelea Banda la Wizara hiyo wakati wa Maadhimisho ya Wiki ya Huduma za Fedha Kitaifa katika Viwanja vya Mnazi Mmoja jijini Dar es Salaam.
Mtaalamu wa Sera kutoka Wizara ya Fedha na Mipango, Bw. Isaac Wilson, akitoa elimu ya Sera za Huduma za Fedha kwa mkazi wa Dar es Salaam wakati wa Maadhimisho ya Wiki ya Huduma za Fedha Kitaifa katika Viwanja vya Mnazi Mmoja jijini Dar es Salaam.
Mtaalamu wa Uchambuzi wa masuala ya Fedha kutoka Benki Kuu ya Tanzania, Bi. Gloria Chellunga, akitoa elimu ya mikopo kwa wakazi wa Dar es Salaam wakati wa Maadhimisho ya Wiki ya Huduma za Fedha Kitaifa katika Viwanja vya Mnazi Mmoja jijini Dar es Salaam.
(Picha na Peter Haule, WFM, Dar es Salaam)
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...