RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein
Ali Mwinyi Akikata Utepe Kuzindua Kiwanda cha Zanziba Handmade
Cosmetics. Rais Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi aliongozana na mke wake 1st
Lady Mariam Mwinyi Pamoja na viongozi mbalimbali wa Chama na Serikali,
Zanzibar.
Rais
wa Zanzibar wa Awamu ya Nane, na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.
Dk.Hussein Ali Mwinyi Akishihudia Baadhi ya Bidhaa zinazozalishwa na
kiwanda hicho. Mkurugenzi wa kampuni ya Shear illusions akitoa maelekezo
kwa Mhe. Rais Mwinyi na wageni mbalimbali kuhusu bidhaa zinazozalishwa
kiwandani hapo.
Rais
wa Zanzibar wa Awamu ya Nane na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.
Dk.Hussein Ali Mwinyi Akimsikiliza Mkurugenzi wa Shear Illusions Africa,
Mama Shekha Nasser Ambaye Ndiye Mwekezaji wa Kiwanda cha Zanzibar
Handmade Cosmetics.
Home
HABARI
RAIS MWINYI ALIVYOZINDUA KIWANDA CHA ZANZIBAR HANDMADE COSMETICS CHA KAMPUNI YA SHEAR ILLUSIONS
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...