Afisa Msimamizi Kodi wa Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA), Bw. Morgan Isdor (kushoto) akimuelekeza Mlipakodi wa eneo la Majimoto mkoani Katavi kuhusu namna ya kuperuzi tovuti ya TRA na kupata huduma mbalimbali kwa njia ya mtandao kupitia simu janja yake, wakati wa kampeni ya elimu kwa mlipakodi ya mlango kwa mlango inayoendelea mkoani hapo.
Afisa Msimamizi Kodi wa Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA), Bi. Jackline Lutare (kulia) akisikiliza changamoto mbalimbali za Mlipakodi wa eneo la Majimoto mkoani Katavi wakati wa kampeni ya elimu kwa mlipakodi ya mlango kwa mlango inayoendelea mkoani hapo.
Afisa Msimamizi Kodi wa Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA), Bi. Mercy Macha (kulia) akisikiliza malalamiko ya Mlipakodi wa eneo la Majimoto mkoani Katavi kuhusu makadirio ya kodi katika biashara yake wakati wa kampeni ya elimu kwa mlipakodi ya mlango kwa mlango inayoendelea mkoani hapo.
Afisa Msimamizi Mkuu wa Kodi wa Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA), Bw.. Darcon Banyasa (kushoto) akimpatia elimu ya kodi Mlipakodi wa eneo la Majimoto mkoani Katavi kuhusu umuhimu wa kuwa na mashine ya kodi ya kielektroniki ya kutolea risiti (EFD) na umuhimu wa kulipa kodi kwa wakati wakati wa kampeni ya elimu kwa mlipakodi ya mlango kwa mlango inayoendelea mkoani hapo.



Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...