Meneja Mwandamizi wa Huduma za Mauzo wa Benki ya CRDB, Muhumuliza Buberwa akizungumza wakati wa semina kwa wachezaji na viongozi wa timu za mikoa zinazoshiriki mashindano ya taifa ya mpira wa kikabu ya Benki ya CRDB (CRDB Bank Taifa Cup 2021), yanayoanza leo kwenye viwanja vya Chinangali, jijini Dodoma. Semina hiyo imefanyika kwenye moja ya kumbi za Chuo Kikuu cha Dodoma huku lengo likiwa ni kukumbushana mambo mbalimbali juu ya mashindano hayo.
 
Meneja Mwandamizi wa Mawasiliano wa Benki ya CRDB, Emmanuel Kiondo akisisitiza jambo wakati wa semina kwa wachezaji na viongozi wa timu za mikoa zinazoshiriki mashindano ya taifa ya mpira wa kikabu ya Benki ya CRDB (CRDB Bank Taifa Cup 2021), yanayoanza leo kwenye viwanja vya Chinangali, jijini Dodoma. Semina hiyo imefanyika kwenye moja ya kumbi za Chuo Kikuu cha Dodoma huku lengo likiwa ni kukumbushana mambo mbalimbali juu ya mashindano hayo.
 
Rais wa Shirikisho la mpira wa Kikapu Tanzania (TBF), Phares Magese akizungumza wakati wa semina kwa wachezaji na viongozi wa timu za mikoa zinazoshiriki mashindano ya taifa ya mpira wa kikabu ya Benki ya CRDB (CRDB Bank Taifa Cup 2021), yanayoanza leo kwenye viwanja vya Chinangali, jijini Dodoma. Semina hiyo imefanyika kwenye moja ya kumbi za Chuo Kikuu cha Dodoma huku lengo likiwa ni kukumbushana mambo mbalimbali juu ya mashindano hayo.








 

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...