Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akisalimiana na Spika Mstaafu wa Bunge, Pius Msekwa kwenye viwanja vya Bunge jijini Dodoma, Februari 1, 2022. Katikati ni Spika wa Baraza la Wawakilishi, Zubeir Maulid. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu) Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akipiga kura ya kumchagua Spika wa Bunge, bungeni jijini Dodoma, Februari 1, 2022. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)




Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akizungumza na Mbunge wa Ilala, Mussa Azan Zungu, bungeni jijini Dodoma, Februari 1, 2022. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu) 

Mbunge wa Mbeya Mjini, Dkt. Tulia Ackson akiapa kuwa Spika wa Bunge, bungeni jijini Dodoma, Februari 1, 2022. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu, Sera, Bungena Uratibu, Pindi Chana akizungumza na Mwanasheria Mkuu wa Serikali, Eliezer Feleshi, bungeni jijini Dodoma, Februari 1, 2021. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)

 Mbunge wa Ngorongoro, Emmanuel Shangai akiapa,  bungeni jijini Dodoma, Februari 1, 2022. (

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...