Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan, akiondoa Kitambaa kama ishara kuweka jiwe la Msingi Mradi wa Maji Safi wa Mugango,Kiabakari,Butiama katika Kijiji cha Mugango Wilaya ya Musoma Vijijini Mkoani Mara leo tarehe 06 Februari, 2022.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan, akisalimiana na Wananchi wa Kijiji cha Mugango Wilaya ya Musoma Vijijini Mkoani Mara Baada ya kuweka jiwe la Msingi Mradi wa Maji Safi wa Mugango,Kiabakari,Butiama leo tarehe 06 Februari, 2022, Mhe. Rais Samia yupo katika ziara ya Kikazi ya siku nne Mkoani Mara kutembelea kukagua Miradi mbalimbali ya maendeleo ya Wananchi.
Waziri wa Maji Mhe. Jumaa Awesu akicheza ngoma ya Singeli pamoja na Viongozi mbalimbali na Wananchi wa Kijiji cha Mugango Wilaya ya Musoma Vijijini Mkoani Mara mara Baada ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan, kuweka jiwe la Msingi Mradi wa Maji Safi wa Mugango,Kiabakari,Butiama leo tarehe 06 Februari, 2022, Mhe. Rais Samia yupo Mkoani Mara kwa ziara ya kikazi ya siku nne ya kutembelea kukagua Miradi mbalimbali ya maendeleo ya Wananchi.Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan, akisalimiana na Viongozi wa Chama cha Mapinduzi CCM wa Mkoa Mara alipowasili katika Kijiji cha Mugango Wilaya ya Musoma Vijijini kwa ajili ya kuweka jiwe la Msingi Mradi wa Maji Safi wa Mugango,Kiabakari,Butiama leo tarehe 06 Februari, 2022.

Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...