Msaikolojia tiba kutoka Hospitali ya Taifa Muhimbili (MNH) Idara ya Afya na magonjwa ya akili Isaac Lema akitoa mada ya afya ya akili kwenye mafunzo ya kutoa uelewa wa magonjwa yasiyoambukiza kwa watu wanaoishi na magonjwa hayo yaliyofanyika hivi karibuni katika ukumbi wa mikutano wa Taasisi ya Taifa ya Utafiti wa Magonjwa ya Binadamu (NIMR) uliopo jijini Dar es Salaam.



Mwenyekiti wa Shirikisho la Vyama vya Magonjwa yasiyoambukiza Tanzania (TANCDA) Prof Andrew Swai akitoa mada ya mtindo bora wa maisha kwenye mafunzo ya kutoa uelewa wa magonjwa yasiyoambukiza kwa watu wanaoishi na magonjwa hayo yaliyofanyika hivi karibuni katika ukumbi wa mikutano wa Taasisi ya Taifa ya Utafiti wa Magonjwa ya Binadamu (NIMR) uliopo jijini Dar es Salaam.








Watu wanaoishi na magonjwa yasiyoambukiza wakiuliza maswali wakati wa mafunzo ya kutoa uelewa wa magonjwa hayo yaliyofanyika hivi karibuni katika ukumbi wa mikutano wa Taasisi ya Taifa ya Utafiti wa Magonjwa ya Binadamu (NIMR) uliopo jijini Dar es Salaam. Mafunzo hayo ya siku moja yaliandaliwa na Shirikisho la Vyama vya Magonjwa yasiyoambukiza Tanzania (TANCDA) ambapo washiriki walikuwa 30 kutoka mikoa mbalimbali.



Watu wanaoishi na magonjwa yasiyoambukiza wakisikiza mada ya jinsi ya kutoa elimu kwa wagonjwa wenzao ilitokuwa inatolewa na Elizabeth Licoco wakati wa mafunzo ya kutoa uelewa wa magonjwa hayo yaliyofanyika hivi karibuni katika ukumbi wa mikutano wa Taasisi ya Taifa ya Utafiti wa Magonjwa ya Binadamu (NIMR) uliopo jijini Dar es Salaam. Mafunzo hayo ya siku moja yaliandaliwa na Shirikisho la Vyama vya Magonjwa yasiyoambukiza Tanzania (TANCDA) ambapo washiriki walikuwa 30 kutoka mikoa mbalimbali.
Picha na Henrick Chiwangu

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...