Familia ya Alexander Masalu Mabele na Bertha Basugi Mabele, wanatangaza kifo cha Mathias Mabele kilichotokea siku ya Ijumaa tarehe 11 February 2022 saa 12 alfajiri. 

Mazishi yatafanyika siku ya Jumatatu tarehe 14 February 2022 kwenye makaburi ya Kinondoni 

Bwana ametoa na Bwana ametwaa, jina la Bwana libarikiwe. Amen.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...