Mganga Mfawidhi wa Hospitali ya Rufaa ya Mkoa wa Dodoma ,Dkt.  Ernest Ibenzi akizungumza na wafanyakazi wa Vodacom kanda ya kati kwenye maadhimisho ya siku ya wanawake duniani. Kushoto ni meneja mauzo wa Vodacom Mkoa wa Dodoma, Balikulije Mchome.



Msimamizi wa maduka ya Vodacom kanda ya kati,  Suzan Mwaipopo  (katikati ) akiwapa zawadi watoto mapacha waliozaliwa usiku wa kuamkia maadhimisho ya siku ya wanawake Duniani yaliofanyika jana,  Kushoto ni mzazi wa mapacha hao,  Neema Brayson na kulia mfanyakazi wa Vodacom,  Halima Bandawe




Meneja mauzo wa Vodacom Tanzania PLC Mkoa wa Dodoma, Balikulije Mchome (wapili kushoto) akizungumza na wafanyakazi wa Vodacom na wauguzi wa hospitali ya rufaa mkoa wa Dodoma wakati wa maadhimisho ya siku ya wanawake duniani ambapo wafanyakazi wa kampuni hiyo walitoa misaada mbalimbali kwenye wodi ya wazazi. Watatu kushoto ni Mganga Mfawidhi wa Hospitali hiyo,Dkt.  Ernest Ibenzi


Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...