Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akizungumza  kwa njia  ya video katika Kazi na Wakuu wa Mikoa yote Tanzania Bara  kuhusu Sensa ya Watu na Makazi ya Mwaka 2022 akiwa ofisini kwake, Mlimwa jijini Dodoma, Aprili 22, 2022. Kikao hicho pia kilihudhuriwa na baadhi ya Mawaziri, Makatibu Wakuu, Makamisa wa Sensa na viongozi wakuu wa Ofisi ya Taifa ya Takwimu. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akitazama  moja ya vishikwambi  vitakavyotumika katika Sensa ya Watu na Makazi  ya Mwaka 2022 baada ya kukabidhiwa kishikwambi hicho na Kamişa wa Sensa, Anne Makinda  (kulia) wakatiu alipozungumza  kwa njia  ya video katika Kikao Kazi na Wakuu wa Mikoa yote Tanzania Bara  kuhusu Sensa ya Watu na Makazi ya Mwaka 2022, akiwa ofisini kwake, Mlimwa jijini Dodoma, Aprili 22, 2022. Kikao hicho pia kilihudhuriwa na baadhi ya Mawaziri, Makatibu Wakuu, Makamisa wa Sensa na viongozi wakuu wa Ofisi ya Taifa ya Takwimu. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...