Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi Ndugu Daniel Chongolo akiwa pamoja na Katibu wa NEC Siasa na Uhusiano wa Kimataifa Kanali Mstaafu Ngemela Lubinga (kulia) na Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi mkoa wa Kigoma Ndugu Amandusi Nzamba (kushoto) wakitoa heshima mbele ya kaburi la aliyekuwa Rais wa burundi hayati Petero Nkurunziza aliyefariki Juni 08, 2020 na kuzikwa hapo Gitega nchini Burundi.



Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi Ndugu Daniel Chongolo akiwa pamoja na Katibu wa NEC Siasa na Uhusiano wa Kimataifa Kanali Mstaafu Ngemela Lubinga (kulia) na Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi mkoa wa Kigoma Ndugu Amandusi Nzamba (kushoto) wakiweka shada la maua katika kaburi la aliyekuwa Rais wa burundi hayati Petero Nkurunziza aliyefariki Juni 08, 2020 na kuzikwa hapo Gitega nchini Burundi.



Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi Ndugu Daniel Chongolo akishiriki kupiga ngoma maarufu ya Burundi inayoitwa Ingoma wakati alipotembelea eneo linalojengwa jingo kubwa la kufaniyia shughuli za kisiasa la CNDD-FDD kwenye mji wa Gitega, Burundi.






Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...