
Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi Ndugu Daniel Chongolo akionyeshwa na Naibu Katibu Mkuu wa Chama cha CNDD-FDD Ndugu Ntakarutimana Joseph mahala ambapo Mama Maria Nyerere alisaini Kitabu cha Kumbukumbu tarehe 7 Mei, 1963 mara baada ya kutembelea Jumba la Makumbusho Gitega .
Katibu Mkuu anakuwa Kiongozi wa pili kutembelea jumba la makumbusho Gitega nchini Burundi.
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...