Mgeni Rasmi katika Maonesho ya 46 ya Biashara ya Kimataifa ya Dar es Salaam (Sabasaba), Katibu Mkuu wa Sekretarieti ya Eneo Huru la Biashara Barani Afrika, Wankele Mene (kulia) akipata maelezo kutoka kwa Kaimu Mkurugenzi wa Wateja Wadogo na wa Kati wa Benki ya CRDB, Bonaventure Paul, wakati alipotembelea banda hilo, katika ufunguzi rasmi wa maonesho hayo yanayaendelea kufanyika katika Viwanja vya Sabasaba, jijini Dar es salaam. Kushoto ni Waziri wa Uwekezaji, Viwanda na Biashara, Dkt. Ashatu Kijaji.

Mgeni Rasmi katika Maonesho ya 46 ya Biashara ya Kimataifa ya Dar es
Salaam (Sabasaba), Katibu Mkuu wa Sekretarieti ya Eneo Huru la Biashara
Barani Afrika, Wankele Mene (wa pili kulia) akipata maelezo kutoka kwa
Meneja wa Benki ya CRDB tawi la sabasaba, Angelita Msaki (kulia), pindi
alipotembelea banda hilo, wakati wa ufunguzi rasmi wa maonesho hayo
yanayaendelea kufanyika katika Viwanja vya Sabasaba, jijini Dar es
salaam. Kushoto ni Waziri wa Uwekezaji, Viwanda na Biashara, Dkt. Ashatu
Kijaji, akifuatiwa na Kaimu Mkurugenzi wa Wateja Wadogo na wa Kati wa
Benki ya CRDB, Bonaventure Paul.

Naibu Spika wa Baraza la Wawakilishi Zanzibar, Mgeni Hassan Juma (kushoto) akisaini kitabu cha wageni wakati alipotembelea banda la Benki ya CRDB katika Maonesho ya 46 ya Biashara ya Kimataifa ya Dar es
Salaam (Sabasaba), yanayaendelea kufanyika katika Viwanja vya Sabasaba, jijini Dar es
salaam. Wengine pichani ni Meneja wa Biashara wa Kanda ya Mashariki, George Yatera (katikati) pamoja na Meneja wa Benki ya CRDB tawi la sabasaba, Angelita Msaki.
Mkuu wa Kitengo cha Masoko wa Benki ya CRDB, Joseline Kamuhanda (kushoto) akizungumza na Meneja wa Benki ya CRDB tawi la sabasaba, Angelita Msaki, wakati wa maandalizi ya kumkaribisha Mgeni Rasmi wa Maonesho ya 46 ya Biashara ya Kimataifa ya Dar es
Salaam (Sabasaba), Katibu Mkuu wa Sekretarieti ya Eneo Huru la Biashara
Barani Afrika, Wankele Mene, katika banda lao.
Mkuu wa Kitengo cha Wateja Wadogo na wa Kati wa
Benki ya CRDB, Stephen Adili (kushoto) akizungumza na Mkurugenzi wa Diaspora wa Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, James Bwana akiyetembelea banda la Benki ya CRDB katika Maonesho ya 46 ya Biashara ya Kimataifa ya Dar es
Salaam (Sabasaba), jijini Dar es salaam. Kulia ni Meneja wa Benki ya CRDB tawi la sabasaba, Angelita Msaki.
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...