Makamu Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Abdulrahmann Kinana akiwa ameshika mashine ya kupuchukulia mahindi iliyobuniwa na walimu kwa kushirikiana na wanafunzi katika Chuo Cha Ufundi VETA- Dodoma.Anayetoa maelekezo ni Mwalimu wa VETA Dodoma Filbart John Kingilisho, leo Julai 9,2022 baada ya kutembelea katika Maonesho ya 46 ya Biashara ya Kimataifa yanayoendelea Viwanja vya Sabasaba mkoani Dar es Salaam. (PICHA NA FAHADISIRAJI WA CCM)

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...