
Makamu Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Abdulrahmann Kinana akiwa ameshika mashine ya kupuchukulia mahindi iliyobuniwa na walimu kwa kushirikiana na wanafunzi katika Chuo Cha Ufundi VETA- Dodoma.Anayetoa maelekezo ni Mwalimu wa VETA Dodoma Filbart John Kingilisho, leo Julai 9,2022 baada ya kutembelea katika Maonesho ya 46 ya Biashara ya Kimataifa yanayoendelea Viwanja vya Sabasaba mkoani Dar es Salaam. (PICHA NA FAHADISIRAJI WA CCM)
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...