RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Alhaj Dk.Hussein Ali Mwinyi akiitikia dua ikisomwa na Sheikh.Faki Ali Bakari.(hayupo pichani) alipofika nyumbani kwa Marehemu Fatma Ali Bakari Mwalimu wa Skuli ya Mahonda , kwa ajili ya kutoa mkono wa Pole kwa Familia ya Marehemu, aliyepata ajali ya kugongwa na gari katika barabara ya mahonda wakati akiwa katika harakati za maandalizi ya hafla ya ufunguzi wa madarasa mapya ya Skuli hiyo leo 20-7-2022.(Picha na Ikulu)

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...