Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akipata maelezo ya Mradi wa Ujenzi wa Tangi la Maji Safi na Salama kutoka kwa Mshauri Elekezi na Msimamizi wa Mradi huo kutoka Kampuni ya Nimeta Const Mhandisi Heri Sanga , alipotembelea Mradi huo na kuweka Jiwe la Msingi la Ujenzi huo, unaojengwa kwa Fedha za Uviko-19, akiwa katika ziara yake Mkoa wa Kusini Unguja leo 23-7-2022.(Picha na Ikulu.)
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akipata maelezo ya Mradi wa Ujenzi wa Tangi la Maji Safi na Salama kutoka kwa Mshauri Elekezi na Msimamizi wa Mradi huo kutoka Kampuni ya Nimeta Const Mhandisi Heri Sanga , alipotembelea Mradi huo na kuweka Jiwe la Msingi la Ujenzi huo, unaojengwa kwa Fedha za Uviko-19, akiwa katika ziara yake Mkoa wa Kusini Unguja leo 23-7-2022.(Picha na Ikulu.)
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...