Mjumbe kutoka Taasisi inayojihusisha na kutoa huduma kwa wagonjwa na yatima Jamiyatul Akhlaaqul Islam (JAI) Hamis Ramadhani akimpatia chakula mama wa mtoto aliyelazwa katika Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) wodi ya watoto wenye magonjwa ya moyo Mwajabu Juma ikiwa ni sehemu ya kuadhimisha sikukuu ya Eid al-adha leo katika Taasisi hiyo iliyopo Jijini Dar es Salaam.
Mjumbe kutoka Taasisi inayojihusisha na kutoa huduma kwa wagonjwa na yatima Jamiyatul Akhlaaqul Islam (JAI) Said Khamisi akimpatia chakula mgonjwa aliyelazwa katika Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) Omary Omary ikiwa ni sehemu ya kuadhimisha sikukuu ya Eid al-adha leo katika Taasisi hiyo iliyopo Jijini Dar es Salaam. Kulia ni Kiongozi wa zamu wodi namba moja Cecilia Njawike
Mjumbe kutoka Taasisi inayojihusisha na kutoa huduma kwa wagonjwa na yatima Jamiyatul Akhlaaqul Islam (JAI) Said Khamisi akishirikiana na Muuguzi Kiongozi wa zamu Prisca Kiyuka kumpatia chakula na juisi mgonjwa aliyelazwa katika Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) Silver Omary ikiwa ni sehemu ya kuadhimisha sikukuu ya Eid al-adha leo katika Taasisi hiyo iliyopo Jijini Dar es Salaam
Mjumbe kutoka Taasisi inayojihusisha na kutoa huduma kwa wagonjwa na yatima Jamiyatul Akhlaaqul Islam (JAI) Said Khamisi akimpatia chakula mgonjwa aliyelazwa katika Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) Joyce Tufanyenini ikiwa ni sehemu ya kuadhimisha sikukuu ya Eid al-adha leo katika Taasisi hiyo iliyopo Jijini Dar es Salaam
Baadhi ya wawakilishi kutoka Taasisi inayojihusisha na kutoa huduma kwa wagonjwa na yatima Jamiyatul Akhlaaqul Islam (JAI) wakiongozwa na mwenyekiti wa Taasisi hiyo Mwidini Athumani (mwenye koti jeusi) kushusha chakula, maji na juisi kwa ajili ya kuwapatia wagonjwa waliolazwa Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) ikiwa ni sehemu ya kuadhimisha sikukuu ya Eid al-adha leo katika Taasisi hiyo iliyopo Jijini Dar es Salaam.
Picha na: Khamisi Mussa
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...