Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Mhandisi Hamad Masauni (meza kuu kushoto), akizungumza na Mkuu wa Jeshi la Polisi, IGP Camilius Wambura (wanne kulia) na Viongozi wa Shirika la Uzalishaji Mali la Jeshi la Polisi, kuhusu masauala mbalimbali ya Shirika hilo, jijini Dodoma, leo. Kulia meza kuu ni Naibu Waziri wa Wizara hiyo, Jumanne Sagini, na Naibu Katibu Mkuu, Dkt. Maduhu Kazi. Picha na Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi.
Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Mhandisi Hamad Masauni (kushoto), akizungumza jambo na Naibu Waziri wa Wizara hiyo, Jumanne Sagini, wakati wa Kikao cha Viongozi wa Shirika la Uzalishaji Mali la Jeshi la Polisi, kilichojadili masuala mbalimbali ya Shirika hilo, jijini Dodoma, leo. Picha na Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi.
Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Mhandisi Hamad Masauni (kushoto), akimsikiliza Naibu Waziri wa Wizara hiyo, Jumanne Sagini akizungumza na Viongozi wa Shirika la Uzalishaji Mali la Jeshi la Polisi, kuhusu masauala mbalimbali ya Shirika hilo, jijini Dodoma, leo. Kushoto ni Naibu Katibu Mkuu, Dkt. Maduhu Kazi na kulia ni Mkuu wa Jeshi la Polisi, IGP Camilius Wambura. Picha na Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi.
Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Mhandisi Hamad Masauni (wapili kushoto), na Naibu Waziri, Jumanne Sagini pamoja na viongozi mbalimbali wakimsikiliza mwezeshaji alipokuwa anatoa mada kuhusu masuala mbalimbali ya Shirika hilo, katika kikao kilichofanyika, jijini Dodoma leo.  Picha na Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi.
Naibu Katibu Mkuu Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi, Dkt. Maduhu Kazi (kulia), akisalimiana na Kiongozi wa Shirika la Uzalishaji Mali la Jeshi la Polisi, ACP Beatus Silla, baada ya kikao cha Shirika hilo kilichoongozwa na Waziri wa Wizara hiyo, jijini Dodoma, leo. Picha na Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi.
 

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...