Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akisalimiana na Balozi wa Tanzania nchini Indonesia, Mheshimiwa Macocha Tembele ambaye alikwenda ofisini kwa Waziri Mkuu Mlimwa jijini Dodoma kuaga, Julai 26, 2022. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akizungumza na Balozi wa Tanzania nchini Indonesia, Mheshimiwa Macocha Tembele ambaye alikwenda ofisini kwa Waziri Mkuu Mlimwa jijini Dodoma kuaga, Julai 26, 2022. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...