Waziri Mkuu Kassim Majaliwa leo Julai 27, 2022 amezungumza na Mkurugenzi Mkuu wa Kituo cha Kudhibiti na Kuzuia Magonjwa cha Nchini Marekani (CDC) Dkt. Rochelle Walensky (kulia kwake) alipokutana nae Ofisi ndogo ya Waziri Mkuu, Magogoni jijini Dar es salaam
Katika mzungumzo hayo Mheshimiwa Majaliwa amemuhakikishia Dkt. Walensky kuwa Tanzania itaendelea kukipa ushirikiano Kituo cha Kudhibiti na Kuzuia Magonjwa cha Nchini Marekani (CDC)
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...