
Maonesho hayo yanaendelea katika stendi ya zamani Mailimoja Kibaha Mkoani Pwani na yatafikia kilele tarehe 10/10/2022
Rais Mstaafu wa Serikali ya Awamu ya Nne, Mhe. Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete akiwa katika picha ya pamoja na wafanyakazi wa Mfuko wa Taifa wa Hifadhi ya Jamii (NSSF).
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...