Mkurugenzi Mkuu wa Kampuni ya Quincewood Group Ltd. iliyobuni mfumo wa kidigitali wa uhakiki wa pembejeo za kilimo nchini (T-Hakiki) kwa udhamini wa AGRA na MasterCard Foundation, Fatma Fernandes (kulia) akiwa katika picha ya pamoja na Waziri wa Kilimo, Hussein Bashe baada ya kufanya mazungumzo namna ya kuendelea kuboresha huduma ya upatikanaji wa lebo za kielektroniki za uhakiki wa pembejeo za wakulima nchini kwa kushirikiana na Taasisi ya Kudhibiti Ubora wa Mbegu Tanzania (TOSCI).
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...