Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akizungumza na Naibu Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirkiano wa Afrika ya Mashariki, Balozi Mbarouk Nassoro Mbarouk (kulia) kabla ya kuondoka Kampala nchini Uganda, Disemba 18, 2022 amabako alimwakilisha Rais Dk. Samia Suluhu Hassan kwenye Maadhimisho ya miaka 75 tangu ulipojengwa msikiti wa kwanza katika Chuo Kikuu cha Makerere nichini humo. Msikiti huo ulifunguliwa na Mwanana Mfalme wa Zanzibar 1948. Wa pili kulia ni Balozi wa Tanzania nchini Uganda Dkt. Aziz Mlima

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...