
Makamu Mwenyekiti wa Kampuni ya Yapi Merkezi Erdem Arioglu, akisikiliza kwa umakini katika mjadala wa viongozi wa sekta binafsi uliombatana na hafla ya utoaji tuzo zilizoandaliwa na Taasisi ya Sekta Binafsi Tanzania (TPSF) Ijumaa iliyopita. Hafla hiyo ya utoaji tuzo ilihudhuriwa na viongozi wa makampuni mbalimbali nchini.
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...