
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akishuhudia utiaji saini Mkataba wa Ujenzi wa Reli ya Kisasa (SGR) kipande cha Tabora kwenda Kigoma (km 506) kati ya Serikali kupitia Shirika la Reli (TRC) chini ya Mkurugenzi wake Masanja Kadogosa na Wawakilishi wa Kampuni za ubia za CCECC na CRCC kwenye hafla fupi iliyofanyika Ikulu Jijini Dar es Salaam tarehe 20 Desemba, 2022.


Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Reli (TRC) nchini Masanja Kadogosa na Mwakilishi wa Kampuni za ubia za CCECC na CRCC wakionesha Hati mara baada ya kutia saini Mkataba wa Ujenzi wa Reli ya Kisasa (SGR) kipande cha Tabora kwenda Kigoma (km 506) iliyofanyika Ikulu Jijini Dar es Salaam tarehe 20 Desemba, 2022.

Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...