Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi pia Makamo Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi CCM Taifa Dk.Hussein Ali Mwinyi alipofika kuifariji familia ya Mjumbe wa Halmashauri Kuu ya CCM Taifa Bi.Yasmin Alloo nyumbani kwao Kiponda kwa kufiliwa na shangazi yake BI.Zainab Esmail Hasham Alloo, mwanzoni mwa mwezi huu.[Picha na Ikulu] 23/12/2022.

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi pia Makamo Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi CCM Taifa Dk.Hussein Ali Mwinyi (kulia) pamoja na familia ya Mjumbe wa Halmashauri Kuu ya CCM Taifa Bi.Yasmin Alloo wakiitikia dua iliyosomwa na Mufti Mkuu wa Zanzibar Sheikh Saleh Omar Kabi (kushoto) leo nyumbani kwao Kiponda kwa kufiliwa na shangazi yake BI.Zainab Esmail Hasham Alloo, mwanzoni mwa mwezi huu.[Picha na Ikulu] 23/12/2022.

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi pia Makamo Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi CCM Taifa Dk.Hussein Ali Mwinyi akiagana na Mjumbe wa Halmashauri Kuu ya CCM Taifa Bi.Yasmin Alloo baada ya kumfariji nyumbani kwake Kiponda kwa kufiliwa na shangazi yake BI.Zainab Esmail Hasham Alloo, aliyefariki mwanzoni mwa mwezi huu.[Picha na Ikulu] 23/12/2022.


Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...