Waziri Mkuu leo Disemba 08, 2022 ameondoka nchini kwenda Luanda, Angola kumuwakilisha Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Samia Suluhu Hassan katika mkutano wa 10 wa wakuu wa Nchi na Serikali wa Jumuiya ya Nchi za Afrika, Karibian na Pasifiki (OACPS). Pichani Mheshimiwa Majaliwa akiagana na viongozi kwenye uwanja wa ndege wa Dodoma. Kulia ni  Mkuu wa Mkoa wa Dodoma Rosemary Senyamule na wapili kulia ni Mkuu wa Wilaya ya Dodoma Mjini Jabir Shekimweri. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...