Wakizungumza kwenye Iftar hiyo ya pamoja marafiki hao wa Mama Samia (Friends Of Samia), wamewaomba watoto hao kuendelea kumuombea Rais wa Sama Suluhu Hassan pamoja na Wasaidizi wake ili waendelee kuwaletea maendeleo Wananchi wote.
Aidha Marafiki hao wa Rais Samia wamekabidhi zawadi mbalimbali ikiwemo mchele, Unga, Sabuni, Maji, Mafuta kwa ajili ya watoto hao kusherehekea vyema Sikukuu ya Eid Elfitr.
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...