Mwakilishi wa shilika la kazi duniani nchini (ILO), Getrude Sima akionesha tuzo waliyotunukiwa na OSHA kwenye maadhimisho ya siku ya usalama na afya mahala pa kazi duniani yaliyofanyika mkoani Morogoro mwishoni mwa wiki. ILO ilitunukiwa tuzo hiyo kwa kuwa taasisi iliyomstari wa mbele katika kubadilishana taarifa za masuala ya usalama na afya nchini, kikanda na kimataifa.

Mwakilishi wa shilika la kazi duniani nchini (ILO), Getrude Sima akihutubia kwa maadhimisho ya siku ya usalama na afya mahala pa kazi duniani yaliyofanyika kitaifa mkoani Morogoro mwishoni mwa wiki, ambapo mwakililishi huyo amebainisha sheria ambazo nchi wanachama wa shirika la kazi duniani inabidi kuzitekeleza ili kuweka mazingira salama kwa wafanyakazi.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...