Watu wengi sasa wanatarajiwakumilikisimu za smart kufuatia magulio ya simu yanayofanyikaDar es Salaam na Mwanza. Magulio hayayatawapa wateja fursa ya kununua simu kwa kulipiakidogokidogokupitiaprogramumaalumuiliyowekwa na Samsung kwa kushirikiana na Tigo. Wateja wataweza kuchaguakati ya simu ainaya A04 na A04s na kulipakuanzia 1,000/TZS kila siku kwa muda wa mwaka mmoja.

Magulio hayoyameandaliwa na kampuni ya Tigo kwa kushirikiana na Samsung kuanzia Aprili 17 Mlimani City Mall (Dar) na Rock City Mall (Mwanza). Guliohilobaadayelitazinduliwa Kibo Complex-Tegeta kuanzia Mei 4. Magulio hayoyatakamilika Mei 14, 2023 ilikuwapa wateja mwezi mzima wa kufanyamanunuzi ya simu za Samsung na kufurahia zawadi zenyekusisimua na vufurushi.

Pamoja na kupataunafuu wa kulipia simu hizi, wateja pia watapatauzoefu wa simu mpya za Samsung Galaxy S23 (S23 Ultra; S23 Plus na S23)pamoja na toleo jipya la A series (A34 na A 54 5G)

Wateja watakaonunua simu mpya za A series(A34 na A54) wataweza kujishindia zawadimbalimbali ikiwemochupa za kishua, coffe mugs na tisheti. PromoshenihiiyaNunuaUshindeitaanzawakati wa Wiki ya Eid na itahusisha pia madukamengine ya Samsung.

Simu hizizinakamerabombayenye pixel ya hali ya juu yenyeuwezomzuri wa kuchukua video na picha zinazong’aa na zenyemvuto. Kama haitoshi, simu hizizinabetriimarazenyeuwezo wa kudumuna chaji kwa siku mbilimfulululizo.

Simu za Samsung A34 na A54 pamoja na simu zote za Galaxy S series zinakuja na huduma ya Samsung Care+ (care plus) inayokupaulinzi wa kioochako kwa mwaka mzima pamoja na warranti ya Miezi 24.Vigezo na mashartikuzingatiwa.

Kwa maelezo zaidi, wateja wanawezakutufuailiakupitiamitandao ya kijamii @samsungtanzania (Instagram) | @SamsungTanzania (Facebook) | SamsungMobileTz (twitter) | @tigo_tanzania (Instagram) .




Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...