
Waziri Mkuu Kassim Majaliwa akionesha tuzo aliyopokea kwa niaba ya Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan ambayo ilitolewa na Taasisi ya Maboresho Katika Mamlaka za Serikali ya Mitaa (TOA) kwa kutambua utendaji kazi wake bora, alipomuwakilisha Rais katika Ufunguzi wa Mkutano wa Taasisi hiyo uliyofanyika kwenye Ukumbi wa Jiji la Dodoma, Mtumba Aprili 04, 2023. 9Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)





Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...