Waziri wa Habari, Mawasiliano na Teknolojia ya Habari Mhe. Nape Moses Nnauye (Mb) akishuhudia utiaji saini wa Mkataba wa upanuzi wa Mkongo wa Taifa wa Mawasiliano katika wilaya 23 nchini baina ya TTCL na HUAWEI Tanzania leo Aprili 17 2023 jijini Dodoma. Kushoto wanaosaini mkataba ni Mkurugenzi Mkuu wa TTCL, Mhandisi Peter Ulanga na kulia ni Mkurugenzi Mkuu wa HUAWEI Tanzania Bw. Damon Zhang





Waziri wa Habari, Mawasiliano na Teknolojia ya Habari Mhe. Nape Moses Nnauye (Mb) akipokea maelezo ya dashibodi ya kufatilia utendaji wa vituo vyote vya Mkongo wa Taifa nchini alipowasili akiwa Mgeni rasmi katika hafla ya utiaji saini mkataba wa upanuzi wa Mkongo wa Taifa wa Mawasiliano katika wilaya 23 nchini baina ya Shirika la Mawasiliano Tanzania (TTCL) na HUAWEI Tanzania leo Aprili 17, 2023 jijini Dodoma





Waziri wa Habari, Mawasiliano na Teknolojia ya Habari Mhe. Nape Moses Nnauye (Mb) akiwasili katika hafla ya utiaji saini mkataba wa upanuzi wa Mkongo wa Taifa wa Mawasiliano katika wilaya 23 nchini baina ya Shirika la Mawasiliano Tanzania (TTCL) na HUAWEI Tanzania leo Aprili 17, 2023 jijini Dodoma

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...