Naibu Spika,Mh. Azzan Zungu (katikati) akiwa na baadhi ya wafanyakazi wa mgodi wa Barrick North Mara walioshiriki mbio za City Marathon
Mmoja wa wafanyakazi wa Barrick North Mara akikimbia
Baadhi ya wafanyakazi wa mgodi wa Barrick North Mara walioshiriki mbio za City Marathon katika picha ya pamoja ya kumaliza kukimbia
Baadhi ya wafanyakazi wa mgodi wa Barrick North Mara katika picha ya pamoja baada ya kumaliza kukimbia mbio za City Marathon, jijini Dodoma
Baadhi ya wafanyakazi wa mgodi wa Barrick North Mara, walioshiriki mbio za City Marathon wakifurahi pamoja baada ya kumaliza kukimbia.

**

Wafanyakazi wa Mgodi wa Barrick North Mara, uliopo wilayani Tarime, wameshiriki katika mbio za Capital city Marathon zilizofanyika Mkoani Dodoma ambapo wamemudu kukimbia mbio za masafa marefu.

Kampuni ya Barrick nchini imekuwa na program za mazoezi kwa ajili ya kuhakikisha wafanyakazi wake wanakuwa na nguvu na afya bora.


Kila mwaka kampuni imekuwa ikiwezesha wafanyakazi wake kushiriki mashindano mbalimbali ya michezo ikiwemo mashindano ya mbio za kilomita 42 ya Bulyanhulu Healthy Lifestyle Marathon yanayofanyika kila mwaka.


Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...